AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Tatizo la Rufiji ni moja ya matukio yaliyoumiza na kusikitisha ambayo Tanzania tumeyapitia, pale Rufiji sio Azory Gwanda pekee ambaye amepotea na kufariki, nikuhakikishie tunachukua kila hatua, ili watu wetu wawe salama awe Mwanahabari, Polisi au raia wa kawaida” Waziri Kabudi
“Katika eneo la Rufiji sio tu Azory Gwanda aliyetoweka na kufariki, nataka kukuhakikishia kwamba tunachukua kila hatua sio tu katika eneo la Rufiji bali maeneo mengine ya Tanzania ili kuhakikisha kuwa watu wetu wako salama-sio tu waandishi”- Waziri Kabudi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK