AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari, Ofisa Habari wa Muhimbili, Aminiel Aligaesha, amesema majeruhi wengine 17 hali zao sio nzuri na wapo katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wakiendelea kupatiwa matibabu.
Eligaesha ametoa wito kwa wananchi wote kuendelea kuwaombea majeruhi waliobaki huku pia akiwataka kufika Muhimbili kwa ajili ya kuwachangia damu kwani idadi ya majeruhi na kiasi cha damu kilichopo bado hakitoshi.
Majeruhi hao walifikishwa hospitalini hapo siku nne zilizopita wakitokea mkoani Morogoro eneo ambalo ilitokea ajali ya moto uliosababishwa na lori la mafuta kulipuka na kugharimu maisha ya watu zaidi ya 70, na majeruhi ambao wapo hospitali ya mkoa wa Morogoro na wengine wapo Muhimbili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK