Ester Kiama 'Mimba Yangu sio Fashion...Kuna Watu Wanahusda Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ester Kiama aliyekuwa akishangaa wanaume kutomtamkia ndoa licha ya kukiri Kama ni uzuri amejaaliwa, kwasasa imebainika tayari ameshapachikwa mimba lakini anajifichaficha ambapo alipoulizwa kuhusu hilo amejibu .

“Yaani kwa sasa sihitaji picha za kuonesha tumbo langu kama wanavyofanya wengine wala kuonekana mitaani kwa sababu mimba yangu siyo fasheni, hiki ni kiumbe, kipo ndani ya tumbo, kinahitaji heshima maana wengine wana macho ya husda hivyo ni vizuri tukaishi kama wazee wa zamani maana hawakuwa na Snapchat wala Instagram,” Actress huyo amefunguka
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad