AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameshiriki kwenye Filamu mbalimbali kama Kipenzi Changu, Surprise, Red Valentine, Family Tears, Ndoa yangu na nyinginezo nyingi tu. Alishawahi kushinda tunzo ya Ijumaa Sexiest Girl mnamo mwaka 2012
Kwenye swala la mahusiano hayupo nyuma, alishatajwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mastaa mbalimbali kama @officialalikiba ambaye ndiye alikuwa mpenzi wake wa kwanza (Mfungua dimba) toka aanze kujihusisha na mambo ya kimahusiano, @juma_jux @diamondplatnumz , @harmonize na kuna tetesi kuwa kwasasa bwana mdogo muuwaji kutoka Jiji lenye miamba mingi Tanzania ndio anamiliki kibubu cha furaha cha mrembo huyo
Kwasasa Jacqueline Wolper anamiliki kampuni yake ya mitindo inayofahamika kwa jina la #HouseOfStylish inayohusika na ubunifu wa mavazi mbalimbali. Kampuni hii inamfanya Jacqueline Wolper kuwa kati ya mastaa wakike wenye mkwanja mrefu Tanzania. Ndoto yake kubwa ni kuja kuwavalisha mastaa wakubwa duniani kama #Rihanna na wengine wengi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK