AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Stephanie mwenye umri wa miaka 35 kuelekea mchezo huo ndio atakuwa refa wa kwanza wa kike kuwahi kuchezesha mechi ya UEFA ya wanaume itakayochezwa Instabul nchini Uturuki leo.
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amesema itabidi ajaribu kudhibiti mihemko wakati wa mchezo huo kwa sababu ya uwepo wa refa mwanamke “vinginevyo Mama yangu atapatwa na hasira”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK