Rihanna Arudi Rasmi Kwenye Game Aachia ngoma Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA kukaa kimya kwenye muziki kwa miaka mitatu bila kuachia ngoma yoyote, mwanamuziki wa miondoko ya pop nchini Marekani mwanadada Rihana, amewafurahisha mashabiki zake kwa kuachia wimbo wake mpya ujulikanao kama Private Loving.

Rihanna amekuwa akipata  ujumbe mwingi kutoka kwa mashabiki zake kumtaka msanii huyo aachie wimbo mpya kwa kuwa ni muda mrefu tangia mara ya mwisho alipoachia album yake ya Anti mwaka 2016 ambayo ilikuwa na jumla ya nyimbo 16 lakini bado alikuwa kwenye chati za muziki kutokana na kushirikishwa kwenye nyimbo mbalimbali.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, mwanamuziki Rihanna aliwaambia mashabiki zake wakae mkao wa kula kwani wimbo huo upo tayari, kazi ni kwao wafurahie muziki mzuri.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad