Sanchoka "Sijapata Bado Mchumba ila Mahari yangu iko Pale Pale Milion 20"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mrembo Jane Rimoy kwa jina maarufu anajulikana Kama Sanchi au Sanchoka anayefanya shughuli za umodel nchini Tanzania , ameweka wazi kwa mwanaume Mwenye nia ya kumuoa mahari yake kwa Sasa ajiandae kutoa million 20.

Mahari yake imepanda ghafla kutoka million 10 mpaka million 20 kwa vile anadai amezidi kuwa mzuri wa umbo na ngozi kutokana na anavyojitunza

Pichani ni baadhi ya picha mpya alizopost leo katika mtandao wake wa Instagram
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad