AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
1. Alichukua Masudy Sura Mbaya
2. Akachukua Remmy Ongala
3. Ikakamatwa na Mzee Jangala
Kilichostaajabisha watu zaidi ni pale Remmy Ongala alipolalamika saaaana kuwa ameonewa kwamba alikuwa anastahiri kuibuka mshindi wa kwanza yeye na sio Masudy 😂😂😂. Akasema "jamani Masudy hanishindi kwa ubaya majaji mmembeba 😂😂😂" Anayekumbuka mwaka wa tukio atukumbushe jamani!
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni kweli; Hayati Remmy alilalamika kuwa majaji walifanya upendeleo tu kwa vile Masudi alikuwa ni "mrembo kabisa"
ReplyDelete