Shindano la Sura Mbaya Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kipindi hiki acha niwape stori.  Hapo kwenye picha ni Remmy Ongala(katikati)  Masudy sura mbaya(kushoto)  na Mzee Jangala(kulia). Kulikuwa na shindano la mtu mwenye sura mbaya kuliko wengine Tanzania na hawa ndio vinara watatu bora ambapo: - 

1. Alichukua Masudy Sura Mbaya

2. Akachukua Remmy Ongala

3. Ikakamatwa na Mzee Jangala


Kilichostaajabisha watu zaidi ni pale Remmy Ongala alipolalamika saaaana kuwa ameonewa kwamba alikuwa anastahiri kuibuka mshindi wa kwanza yeye na sio Masudy 😂😂😂. Akasema "jamani Masudy hanishindi kwa ubaya majaji mmembeba 😂😂😂" Anayekumbuka mwaka wa tukio atukumbushe jamani!   

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni kweli; Hayati Remmy alilalamika kuwa majaji walifanya upendeleo tu kwa vile Masudi alikuwa ni "mrembo kabisa"

    ReplyDelete

Top Post Ad