AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikosi cha Simba SC kimefika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) tayari kwa safari ya kwenda Msumbiji ambako kitacheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Afrika dhidi ya klabu ya UD do Songo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK