AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali hiyo imetokea leo Jumamosi August 10, 2019 umbali wa mita 200 kutoka kituo kikuu cha mabasi Msamvu ukitokea Dar es Salaam.
Imeelezwa kuwa , baada ya lori hilo kupinduka, watu walianza kujazana wakigombania kuchota mafuta ambapo mmoja wa waliokuwa wakichota mafuta hayo alianza kuvuta betri ya gari na ikawa ndo chanzo cha moto kulipuka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK