Aliyepokea fedha Mil 1.3 kimakosa kwa M-Pesa ashtakiwa kwa wizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanaume huyo alipokea malipo ya Shilingi za Kitanzania 1,300,000/= kwa M-pesa kutoka kwa Mwanamke mmoja ambaye ni mfanyabiashara.



Stanley Irungu baada ya kupokea fedha hizo alitoa kiasi cha Shilingi za Kitanzania 1,300,000/= huku akijua sio zake.

Stanley Irungu alipokea Tsh. 1,300,000 kutoka kwa Mfanyabiashara huyo na kutoa Tsh. 864,000 na kiasi kilichobaki kilirudishwa na Safaricom.

Milicent Atieno mfanyabiashara aliyekosea kutuma fedha hizo aliwasiliana na Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom waliorudisha kiasi cha Shilingi 465,000/= kilichobaki.

Stanley hakuwa akipokea simu hata alipokuwa akipigiwa ili arudishe muamala huo. Mahakama ilimuachia kwa dhamana baada ya kutimiza masharti.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad