Amber Lulu "Siwezi Kutembea na Ommy Dimpoz...Yeye Hana Habari na Wanawake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Amber Lulu, ametaja list ya wasanii ambao amadai hawezi kutoka nao kimapenzi kwa namna yeyote ile.


Katika orodha hiyo Amber Lulu amemtaja msanii wa kwanza ambaye hawezi kutoka naye ni Dudubaya, Ommy Dimpoz, Alikiba na wengine wengi.

Akizungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachoruka kupitia kurasa za Facebook na YouTube za East Africa Television, Amber Lulu amesema, "siwezi kutembea na msanii kama Dudubaya anaongea sana, Kalapina yeye ni mkorofi sana, Ommy Dimpoz yeye hana habari na wanawake sijui kwanini".

Kwa sasa Amber Lulu anatamba na ngoma ya 'Haters' ambayo anatarajia kutoa video wiki ijayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad