Bright "Mahaba Nitakayo Mpa Vanessa Mdee Atatulia Mwenyewe..Niombeeni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nyota kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Bright ameamua kuweka wazi hisia zake kuwa analihitaji penzi la Mwanadada Vanessa na ameahidi kulipa hivi karibuni.

Akiwa kwenye moja ya interview yake hivi karibuni amesema

"Vanessa Mdee 'Vee Money' ni msichana mzuri naamini kila Mwanaume ambaye ni rijali ni lazima atavutiwe kimapenzi na Vee Money"

Aidha msanii huyo amefunguka zaidi jambo la kumpata Vanessa Mdee linaweza likawa hivi karibuni amewataka watu waombe uzima na kwa mahaba ambayo atampa atamtuliza mwenyewe.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad