AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Mimi na Mavoko hatujawahi kuwa na mahusiano, kuhusu swala la kinga hapana, mimi na mpenzi wangu tayari tumeshapima na nina mpenzi mmoja tu"
Aidha Lulu Diva amesema kwa siku huwa anapokea DM meseji 100, 200, hadi 300 kutoka kwa wanaume kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, wakimtaka kimapenzi ila kwa bahati nzuri au mbaya huwa hasomagi na hafatilii hizo meseji.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK