Lulu Diva Afunguka Penzi la Rich Mavoko...'Sijawahi Kutumia Condom'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nyota wa kike kutoka kiwanda cha Bongo fleva Mwanadada, Lulu Diva amefunguka kuwa hakuwahi kuwa na mahusiano na Rich Mavoco na kwenye maisha yake hapendi kutumia kinga.

"Mimi na Mavoko hatujawahi kuwa na mahusiano, kuhusu swala la kinga hapana, mimi na mpenzi wangu tayari tumeshapima na nina mpenzi mmoja tu"

Aidha Lulu Diva amesema kwa siku huwa anapokea DM meseji 100, 200, hadi 300 kutoka kwa wanaume kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, wakimtaka kimapenzi ila kwa bahati nzuri au mbaya huwa hasomagi na hafatilii hizo meseji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad