MAJANGA:Nimeamka Asubuhi Nipo na Mama Mkwe Kitandani...Nifanyeje?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Heka heka la jana si mchezo kabisa, nilikata moto kama ngoma sita ilikuwa Bar moja nilienda na familia kupata burudani ya mziki live Band, sasa wife hakukaa sana na ilivyofika saa tano akasepa na watoto akaniacha na mdogo wake wa kike na mama mke ambaye ni mama mkwe.

Nikiri tu huyu mama ni mmama wa kimjini mjini na pombe nyama kwa sana tukiwa watatu pale mimi, mama mkwe na mdogo wake wife mida si mida mziki umekolea mdogo wake wife akaniamsha tukaelekea kwa Dance floor huku mama mkwe akiendelea kupiga vyombo.

Tumecheza muda si muda mama mkwe akamuita mwanae wakaongea then akasepa, Daah kuanzia hapo vitimbi vya mkwe wangu vikaanza akaniambia tuhame bar eti twende Hotel ambayo ina burudani na vyumba ikitokea mtu kazidiwa anaenda pindua, nikamuuliza Rachel yuko wapi mdogo wake sasa na wife akaniambia kuna mtu wake kamuita nikaona isiwe case japo nilianza kulalama nani ataendesha gari kuelekea huko anakotaka ile hali wote tuko chakari, akasema ni drive tu pole pole basi bana tumeelekea huko.

Ile tunapiga urabu wife kaanza kusunbua kupiga simu ikabidi mama ake ambae ni mkwe wangu apokee simu na kumtoa hofu bado wife akasisitiza muda umeenda na turudi, wakuu pombe zilinizidi na yule mama mkwe akanikokota mpaka chumbani wazee pombe kali si mchezo, nilisimamia show usiku sasa ndio nashituka usingizini na mama mkwe bado amelala pembeni hapa nimechukua simu missed calls 30 za wife.

Wakuu niko njia panda baada nifanyeje kuua msala huu, Najuta kuja ukweni huku, swala hili nitalisolve vipi ndugu zangu?

By Mwana Ukoo/JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Labda ulikuwa unaota..!!!
    ukitaka kujua angalia chupi iliyo anikwa ndiyo ile..!!

    ReplyDelete
  2. Sasa unataka sisi tukushauri vipi wakati ulikuwa umemkaribisha shetani awe karibu na wewe, siku zote pombe huambatana na dhambi ya uasherati hivyo nakushauri acha pombe na mama wa mke wako mkalie mbali.

    ReplyDelete
  3. Unaomba ushauri wakati umeyakabidhi maisha yako kwa yule muovu shetani, umeamua kumuasi Mungu na kutukuza anasa za dunia hii.

    ReplyDelete

Top Post Ad