Mchungaji Mwenye Wake 3 Kortini na Wake Zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MCHUNGAJI wa Kanisa la The Hill Lord, David Chiliuza ( 33) mwenye wake watatu anayekabiliwa na mashtaka mawili yeye na wake zake wawili tayari amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusubiri kesi inayomkabili.



Mchungaji huyo alifikishwa mahakamani hapo wiki iliyopita akikabiliwa na mashtaka mawili; moja likiwa la kuishi nchini bila kibali linalomkabili yeye na wake zake ambapo wake zake walikiri shitaka hilo huku akikana na kukiri shitaka lake la pili la kufanya shughuli za kanisa bila kuwa na kibali cha kuishi nchini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad