Nimefanya Mapenzi na Shemeji Yangu Kwa Bahati Mbaya...Naombe Ushauri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutoka Kwa Mdau,

Naombeni ushauri wa hali na mali katika hili , Siku kadhaa zilizopita hapa nyumbani kwetu tulifanya sherehe ya birthday ya mtoto wetu kutimiza miaka mitano tuliwaalika ndugu wengi hapa home kwa ajili ya sherehe hiyo, Mgeni mmoja wapo ni mdogo wa mume wangu ambae alikuwa ametoka mkoani so alifikia kwetu, sasa siku ya birthday katika sherehe hiyo tulikunywa sana kila mtu akawa safi mume wangu pombe zilimzidi ilipofika saa sita usiku akaniaga anaenda kulala, mimi nikabaki na baadhi ya ndugu tunakunywa.

Ilipofika saa saba nami nikajikokota kwenda kulala, nikaingia chumbani nikajitupa kitandani bila kuwasha taa mme wangu alinipokea kwa mahaba tukabinjuka, baada ya kumaliza kiu kikanisha nikaamka niende kunywa maji ile kuwasha taa nikakuta kumbe nilikosea chumba na niliye fanya nae mapenzi ni mdogo wa mume wangu nae alizania nimemtunuku mambo basi hakufanya ajizi akanipa dozi ya uhakika...Hichi kitu kinanisumbua akilini sana mpaka naona sina raha je nimweleze mume wangu kilichotokea ili nipate amani ama nitaharibu zaidi?
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ASA kime haribika nn usi jilaumu yy kafanya mapenz na pombe sio wewe, ikiwezekana mpetena

    ReplyDelete
  2. unamwambia nn ,,,,mpe tena shemeji

    ReplyDelete

Top Post Ad