AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanaoume hao “hawalitakii mema kanisa “, bali kile wanachokijali ni ” kubadilisha mapapa, kubadilisha mitindo, kubuni matawi ya kanisa “, alisema.
Viongozi wa kanisa katoliki wa Marekani waliwahi kukosoa Papa kwa maoni yake.
Hii ni mara ya kwanza kwa Papa kuzungumzia wazi kuhusu uwezekano wa mpasuko ndani ya kanisa katoliki , ambalo lina zaidi ya wafuasi zaidi ya bilioni moja duniani.
Papa Francis alizitoa kauli zake alipokuwa ndani ya ndege iliyomrejesha Roma baada ya ziara aliyoifanya katika mataifa ya Madagascar, Mauritius na Msumbiji.
Alikuwa ameulizwa swali na mwandishi kuhusu mashambulio dhidi yake kutoka kwa viongozi mahafidhina wa kanisa Katoliki , kupitia vituo vya televisheni na tovuti za Marekani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK