Rose Muhando Aibuka na 'Walionicheka'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji Mkongwe wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando ameibuka na kutoa wimbo mpya uitwao 'Walionicheka' ambao unatamba kwasasa kwenye anga za muziki wa aina hiyo.

Rose ametoa wimbo wake huo jana Alhamisi ambao amemshirikisha mwanamuziki kutoka Kenya, Ring Tone ambaye pia huimba muziki wa aina hiyo.

Kwenye wimbo huo Rose amemshukuru Mungu kwa kumvusha katika kipindi kigumu alichopitia kwani mwaka jana mwimbaji huyo akiwa nchini Kenya alipata matatizo ya kiafya ikiwemo kukumbwa na mapepo.


Rose amewahi kutamba na nyimbo kama Mteule uwe Macho, Yesu Nakupenda, Tabu Zangu, Wambea Nao, Uko Wapi na nyingine nyingi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad