AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Wema amesema ameona kuolewa na kuwekwa ndani kunaweza kumrudisha nyuma na kushindwa kufanya mambo yake ya kimaendeleo.
“Siyo siri, nimshaghairi kabisa ishu za kuolewa kwa sasa. Kama hiyo bahati haikuwepo huko nyuma, basi imeshapita maana mchongo wa kufunga ndoa sasa hivi ni kurudishana nyuma tu bila sababu za msingi,” alisema Wema mwenye umri wa miaka 30 akisisitiza sasa hivi ana mipango mingi ya kufanya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK