Wolper: Uzuri Ungekuwa Sura Ningeshaolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa filamu Bongo,Jacquline Wolper ameamua kutoa la moyoni na kusema kuwa kama uzuri ndiyo ungekuwa ni sura na kumfanya mtu  aolewe basi hata yeye tayari angekuwa mke wa mtu.

 Akipiga papaso na Za Motomoto ya Risasi, Wolper alisema kuwa wasichana wengi wazuri wanajiona ndiyo wamemaliza na kusahau uzuri ni tabia.

“Unakuta msichana mrembo sana lakini amechina nyumbani kwa sababu hana sifa za kuwa mke wa mtu kwa hiyo wasichana warembo wajikague tena tusije tukazeeka pekee yetu,” alisema Wolper
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mie .. wewe kiwacha Gambe.
    Mie.. nakuja na ntakuweka ndani.
    Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

    Shopping Ulaya. gari Lamborghini.
    Suti na gauni LV.

    Badilika na Jitathmini.

    ReplyDelete

Top Post Ad