Yanga Yaunda Kamati ya Hamasa, Wolper, Uwoya Wachaguliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo ameteua Kamati ya Kudumu ya Hamasa yenye wajumbe 21 ikiongozwa na Suma Mwaitenda katibu wake akiwa Deo Mutta.

Baadhi ya wajumbe walioteuliwa kuingia kwenye kamati hiyo ni Irene Uwoya, Jaquiline Wolper, Miriam Odemba, Flora Mvungi, Haji Mboto, Dominick Salamba, Hassan Bumbuli, Khamis Dacota, Jimmy Msindo na Jimmy Mafufu.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad