AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Historia ya siku hii ilianza mwaka 1991 baada ya Umoja wa Afrika kuamua kuitangaza siku hii kwa ajili ya kuenzi watoto wa mji wa Soweto nchini Afrika Kusini waliouawa na askari wa Kikaburu mwaka 1976, waliokuwa wakiandamana wakipinga vitendo vya unyanyasaji na ubaguzi wa rangi uliokuwa ukiendelea, na pia kuhamasisha dunia kupinga vitendo vya kikatili kwa watoto.
Askari hao waliwafyatulia risasi na kuua watoto zaidi ya 170 na kujeruhi mamia wengine.
Tukio hili lilishtua dunia nzima na mpaka sasa limebaki kama kielelezo cha matukio mabaya yaliyotakana na ubaguzi wa rangi barani Afrika.
HIZI HABARI KAMA HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL BLOG <DOWNLOAD HAPA>
Pichani ni mtoto Hector Pieterson (13) ambaye ni miongoni mwa watoto waliouawa na askari wa Kikaburu, akiwa amebebwa na mwanafunzi mwenzake Mbuyisa Makhubo, pembeni akiwa na dada yake Antoinette ambaye mpaka sasa bado yuko hai
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK