AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uongozi wa klabu ya AC Milan umemfuta kazi kocha wake, Marco Giampaolo akiwa na miezi mitatu na nusu tangu apewe mkataba wa kuifundisha timu hiyo.
Kocha huyo ameiongoza Milan kucheza jumla ya mechi saba msimu huu huku akishinda mitatu pekee.
Katika mechi hizo tatu za ushindi, Giampaolo ameiwezesha Milan kujikusanyia jumla ya alama tisa ikiwa kwenye nafasi ya 13 ya msimamo wa ligi.
Giampaolo alichukua mikoba ya aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Gennaro Gattuso mwenzi Juni mwaka huu ambaye aliondoka kufutia kushindwa kuiwezesha timu hiyo kupata nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK