AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mimi nimeolewa mwaka wa pili sasa ila ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, na hiyo ni kwa ajili ya umbo langu kiuno nyingi ila nina tako balaa na miguu mizuri, tena wanakuja kwa njia za pesa na magari lakini namuheshimu mume wangu sitoe mwanya hata kidogo japo ilinifanya nikafukuzwa hata kazi niliyokuwa nimeajiriwa baada ya kumkataa bosi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni vizuri kuheshimu ndoa yako maana ukianza kugawa uroda utatafunwa kila siku na mwisho wa siku utaambukizwa magonjwa ya zinaa. Hongera kwa kuwa na msimamo, usimsaliti mumeo.
ReplyDelete