Maungo Yangu Yananipa Tabu Sana, Natongozwa Kila Kukicha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mimi nimeolewa mwaka wa pili sasa ila ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, na hiyo ni kwa ajili ya umbo langu kiuno nyingi ila nina tako balaa na miguu mizuri, tena wanakuja kwa njia za pesa na magari lakini namuheshimu mume wangu sitoe mwanya hata kidogo japo ilinifanya nikafukuzwa hata kazi niliyokuwa nimeajiriwa baada ya kumkataa bosi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni vizuri kuheshimu ndoa yako maana ukianza kugawa uroda utatafunwa kila siku na mwisho wa siku utaambukizwa magonjwa ya zinaa. Hongera kwa kuwa na msimamo, usimsaliti mumeo.

    ReplyDelete

Top Post Ad