Ndege ya Namibia Yazuiliwa Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 MAMLAKA ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege nchini Afrika Kusini juzi iliizuia ndege ya Namibia kutokana na kutolipa ankara za matumizi ya viwanja, na huduma kwa wateja wake lakini baadaye Shirika la Ndege la Namibia lililipa sehemu ya malimbikizo hayo na kuruhusiwa kuendelea kutoa huduma.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad