Nimakosa kwenye nchi ya demokrasia kufanya watu wasiongee – Nay wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Muziki wa Hip Hop, Nay wa Mitego amedai sio kweli kwamba kuna baadhi ya watu wanazibwa mdomo wasiongee yale mabaya ambayo yanadaiwa yamekuwa yakijitokeza katika serikali ya Rais John Pombe Magufuli.



Rapa huyo amedai katika muziki wake hajawahi kufuatwa na mtu yeyote akaambiwa asifanye anachofanya.

Toka rapa huyo apate misukosuko na wimbo wake wa ‘Wapo’ hajaachia tena wimbo wa namna hiyo hali ambayo imekuwa ikitafsiriwa na wadau kwamba ameingiwa na woga.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad