AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Stars imeingia kambini kujiandaa na mechi mbili, ya kwanza ikiwa ni ya kirafiki na Rwanda 'Amavubi', itakayopigwa Kigali, Oktoba 14, pamoja na ile ya marudiano ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) dhidi ya Sudan Oktoba 18.
Masai, ni beki chipukizi, alikuwa na kikosi cha timu ya Taifa ya Vijana 'Ngorongoro Heroes' kilichotwaa ubingwa wa vijana wa CECAFA wikiendi iliyopita.
Wachezaji wengine wa Azam FC walioitwa kikosi hicho ni Nahodha Msaidizi, Frank Domayo 'Chumvi', Mudathir Yahya, Salum Abubakar 'Sure Boy', Idd Seleman 'Nado' na mshambuliaji Shaaban Chilunda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK