AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbene kusema mkurugenzi huyo hana ushirikiano na viongozi mbalimbali na kusababisha changamoto katika utendaji.
Mbunge wa Ileje (CCM), Janeth Mbene aliyewahi kuwa naibu waziri wa viwanda na biashara alipopewa amesema mkurugenzi huyo amekuwa hatoi ushirikiano kwa wenzake na hatekelezi majukumu yake ipasavyo na kwamba tatizo hilo limekuwa likielezwa kwa viongozi mbalimbali na pia mkoa umelifanyia kazi.
Akijibu tuhuma hizo, Rais Magufuli amesema ‘Kuhusu hili la mkurugenzi unajua kwa watu ambao hawaijui Ileje unaweza ukashangaa, sina uhakika kama dhambi zote hizo ni za mkurugenzi.Taarifa niliyonayo mimi, na (Seleman) Jafo (Waziri wa Tamisemi) ni shahidi kwamba huyu mkurugenzi saa nyingine anaacha kazi zake za ofisini anaenda kufundisha darasani,” Ametoa kauli hiyo leo wakati akihutubia wananchi kwenye mji mdogo wa Mpemba ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Songwe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK