AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo mjini Mpanda wakati akizindua safari za ndege kutoka Dar es Salaam - Mpanda
“Leo nilikuwa nazungumza na DPP alikuwa ananipa taarifa za wale watu waliotubu na wakaachiwa. Waliokuwa mafisadi wamerudisha fedha, Mpaka leo wamefikia 138, wamesharudisha baadhi ya mabilioni ya fedha, na hao 138 wameshaachiwa wako huru wameenda kujumuika na familia zao na huu ni upendo wa pekee kwa sababu tulitoa msamaha ” amesema Rais Magufuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK