AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Genk, juzi Jumatano ilishindwa kutamba kwenye Uwanja wa Luminus baada ya mchezo wa kwanza Hatua ya Makundi kufungwa mabao 6-2 na Salzburg.
“Tumecheza dhidi ya Napoli ambao ni wagumu kweli, lakini tulipambana na hatujapata matokeo mabaya kama ambavyo ilikuwa kwa Salzburg.
“Ilikuwa muhimu kwetu kupata sare kwenye ligi hii, tulipata nafasi hatukutumia vizuri, nao kwao ilikuwa hivyohivyo,” alisema Samatta. Msimamo kamili wa makundi ya Uefa soma ukurasa wa 18.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK