Serikali Yasaini Mkataba wa Ununuzi wa Ndege Mpya ya Bombardier Q400

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali ya Tanzania imesaini mkataba na kampuni ya kutengeneza ndege kutoka Canada kwa ajili ya ununuzi wa ndege mpya aina ya Bombardier Q400, inayotarajiwa kufika nchini June 2020, yenye uwezo wa kubeba abiria 78.

Mkataba huo umesainiwa leo Jumamosi Oktoba 19, 2019 lengo likiwa ni kuimarisha na kuboresha utoaji huduma za usafiri wa anga nchini kupitia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).

Mtendaji mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali, Dk Benjamin Ndimila amesema ndege hiyo itakua na uwezo wa kutua hata kwenye viwanja vya vumbi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad