AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Taifa Stars imefuzu kucheza michuano ya CHAN mwaka 2020 nchini Cameroon baada ya kushinda 2-1 dhidi ya Sudan na kufuzu kwa faida ya goli la ugenini
Ikumbukwe kuwa Timu ya Sudan iliifunga Taifa Stars goli 1 katika mchezo wa awali uliochezwa nchini Tanzania
Magoli ya Tanzania kwenye mchezo wa leo yamefungwa na Erasto Nyoni dakika ya 49 na Ditram Nchimbi dakika ya 78
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK