Wahaya Wengi ni Wasomi Lakini Kagera ni Maskini Kwanini?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Moja kati ya kabila ambalo kwenye upande wa kupiga kitabu wapo vizuri basi Wahaya ni namba moja, ukienda kila taasisi kubwa au makampuni makubwa hawa ndugu zetu huwezi kuwakosa, kama maprofessor, madokta ma maengeneer wa kumwaga tu, hata makampuni ya nnje wapo wengi tu wameajiriwa huko

Hawa elimu yao huwa sio ya kukariri yani ukimkuta Mhaya kapiga kitabu basi jua ameiva kweli kweli, lakini kinachonishangaza ni kwa nini pamoja na wengi kuwa na elimu kubwa bado wameshindwa kukomboa nyumbani kutoka kwenye umaskini?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad