AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja kati ya kabila ambalo kwenye upande wa kupiga kitabu wapo vizuri basi Wahaya ni namba moja, ukienda kila taasisi kubwa au makampuni makubwa hawa ndugu zetu huwezi kuwakosa, kama maprofessor, madokta ma maengeneer wa kumwaga tu, hata makampuni ya nnje wapo wengi tu wameajiriwa huko
Hawa elimu yao huwa sio ya kukariri yani ukimkuta Mhaya kapiga kitabu basi jua ameiva kweli kweli, lakini kinachonishangaza ni kwa nini pamoja na wengi kuwa na elimu kubwa bado wameshindwa kukomboa nyumbani kutoka kwenye umaskini?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK