AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dk. Mahiga amesema nyaraka zote zilizoko kwenye Ofisi ya DPP, Biswalo Mganga, na taarifa muhimu za wahujumu uchumi hazijaguswa, ziko salama.
“Ofisi ambayo ilivunjwa na vipande vya kompyuta kuchukuliwa ni ya Mkoa wa Dar es Salaam, Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshugulikia Mashitaka ya Serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo na kazi zake zinaendelea,” amesema.
Pia amewataka watu kuliachia jeshi la polisi liendelee na uchunguzi wake unaofanywa kupitia vipande vya komputa vilivyobaki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK