Alichokisema Lema baada ya Meya wa CHADEMA Arusha kutimkia CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha, Kalisti Lazaro kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Ndg. Humphrey Polepole Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM. Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ametoa neno.

Lema amesema kuwa ni baraka kubwa kwa Chadema Meya huyo kuondoka kwenye CCM huku akidai kuwa bado rafiki yake mmoja.

"Wakati Yesu Kristo anataseka msalabani Wayahudi walikuwa wanapiga kelele wakisema amekwisha,amekwisha..lakini yeye alisema Imekwisha," ameandika Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.

"Wanafikiri tumekwisha na kumbe Imeisha. Ni baraka kubwa  kwa Chadema Mayor wa Arusha Mjini Kalist Lazaro kwenda CCM,bado rafiki yake mmoja."
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Godilesi, usijisemeshe tena huko nchini twita. Salam zako kwa Mrisho nilizifikisha ila akaniambia CCM hawato kupokea. na wewe hata ukasemma ni rafiki wa Kalista unafuata baada yake...HAWAKUTAKI WW RASTA ULIE POTEZA DILA NA MWELEKEO. HAWAKUCHUKUI LABDA LAISI WA NCHINI TWITA AKUPPE UANACHAMA
    CHAMANI KWAKE UWE WA PILI BAADA YAKE YY. TWITA OYYEEE... GUDILESI WOYEEEE.

    ReplyDelete
  2. Godilesi, usijisemeshe tena huko nchini twita. Salam zako kwa Mrisho nilizifikisha ila akaniambia CCM hawato kupokea. na wewe hata ukasemma ni rafiki wa Kalista unafuata baada yake...HAWAKUTAKI WW RASTA ULIE POTEZA DILA NA MWELEKEO. HAWAKUCHUKUI LABDA LAISI WA NCHINI TWITA AKUPPE UANACHAMA
    CHAMANI KWAKE UWE WA PILI BAADA YAKE YY. TWITA OYYEEE... GUDILESI WOYEEEE.

    ReplyDelete
  3. Vyuma vinakatika huku. Anza kujitafutia mradi wa kufuga njiwa.. INALIPA BRO.

    ReplyDelete

Top Post Ad