Bongo Zozo Atua Dar, Kugawa Tiketi 100 Kwa Wanawake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muhamasishaji wa timu ya Taifa Stars, Bongo Zozo usiku wa kuamkia leo Novemba 14, 2019 ametua nchini akitoka nchini Uingereza kuiongezea nguvu Taifa Stars dhidi ya Equatorial Guinea Ijumaa saa 1 usiku Uwanja wa Taifa mchezo wa kufuzu Afcon 202.

Akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 3) amesema kuti timu ya Taifa ikifungwa atawadai nauli yake na ametangaza kugawa tiketi 100 kwa Wanawake wajae Uwanjani kuiongezea nguvu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad