AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mlela ambaye alikuwa ameongozana na mpenzi wake mpya pamoja na msanii mwenzake ambaye ni swahiba wake wa muda mrefu, Hemmed PHD. Katika Varangati hilo, Ebitoke amesikika akisema; “Mwacheni nimwonyeshe”, huku akitukana matusi ya nguoni licha ya kudhibitwa na mabaunsa.
Ikumbukwe kuwa, Mlela alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ebitoke na sasa waneachana hivyo Mlela ana kimwana mwingine.
Kaka wa Ebitoke amesikika akimwambia Mlela, “Umemuharibia maisha mdogo wangu” huku waandishi wa habari na wasanii wenzake waliokuwepo wakibaki wameduaa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK