AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtandao wa biashara Barani Afrika umefunga biashara yake nchini Tanzani ikiwa ni siku chache tu baada ya kusitisha shughuli zake nchini Cameroon
Kulingana na taarifa iliyopatikana imeeleza kuwa Jumia imefunga shughuli zake nchini Tanzania ili kuwekeza rasilimali katika masoko mengine
Taarifa hiyo inasomeka: "Kwa kuzingatia mapitio yetu kwenye njia ya mafanikio, tumefanya uamuzi mgumu wa kusitisha shughuli zetu nchini Tanzania kuanzia Novemba 27, 2019"
Aidha, imesema itaendelea kutumia mtandao wake wa ''Jumia Deals'' katika kuendelea kuwasaidia maelfu ya wafanyabiashara ambao wanautumia kukutana na wanunuzi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK