Nimeingia Matatani Muhudumu wa Bar Anamimba Yangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Eeeeeeh bwana kuruka ruka sio kuzuri kabisa, kuna upuuzi mmoja nimeufanya na sasa unanitokea puani kuna bar moja napenda sana kupiga maji, sasa Kuna siku nimeenda akawa ameletwa mhudumu mkale hatareeeee, yupo kama msomali msomali hivi umbo usiseme.

Basi mwanaume nikajikakamua yale ya mupe huyu na huyu bili leta kwangu mwisho mtoto akajaa kwangu, hapo mamsapu kakumbatia mto home anajua mume yupo busy kazini anahangaika na mafile kumbe nahangaikia papuchii nikapita na yule dada bwana, si akapagawa mazima kwangu acha tu.

Leo kaniletea vipimo vya hospitali ana mimba yangu na kazi ameacha pale anasema anataka alee mimba yangu kwa uhuru. Nimepagawa maana ukisikia mwanaume kupewa talaka na mke ndio kwangu nipo hapa counter napata baridi ila kichwa kinawaka moto wife akijua nitaweka wapi sura yangu tena aibu kuu ni nazaa na "baamedi"ambao mmewahi kupata mkasa kama wangu mliutatua vipi maana hapa A haikai wala B haisogei



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad