Siri ya Mapenzi ya Wizi Kuwa Matamu Kuliko ya Halali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni swali ambalo wengine pia inawezekana wamekuwa wakijiuliza. Inakuaje mapenzi ya kuiba, mapenzi ya juu juu yanakuwa matamu sana kuliko mapenzi ambayo yamehalalishwa.

Mapenzi kiufupi kuwa mazuri yanabebwa na mambo mengi sana.moja kuu katika hayo ni adventures(matukio) binafsi nilishawah kuwa na mpenzi wa toka miaka ya late 90 ambaye kuna matukio mengi sana yashawahi kutukuta sote.tushawah mpaka kukamatwa na polisi tuki make love, tumeshawah kukamatawa tena jumba bovu.tumeshawah kupelekana polisi mpaka ameolewa yule dada amekuwa aki miss matukio tena makubwa makubwa.tushapelekana sana polisi na mumewe sometime akihusika lakini mwishone naendelea ku mgegeda yule dada.adventures na sisi wengine adventures zinatusisimua zaidi.

Mapenzi ya namna hii yananikumbusha kisa cha wapenzi wawili ambao walianzia mapenzi yao chuo.ikafika wakamaliza masomo.wakarudi kwa wazaz wao.ikawa hali ni ngumu sana kiuchumi.bas wanapitiana wanaenda kutafuta kazi.wakiwa wanarud late sometime wanakuwa hawana naul wanalazimika kupita njia short cuts na wakiwa huko wakati mwingine wanajiwa na hamu ya mapenzi wanatafuta sehem ya giza wanafanya mapenzi.

Wakawa wakati mwingine wanafanya mapenzi hadi kwenye majumba mabovu au dampo. Sehem ambayo tu watapata privacy.wakawa waki enjoy sana maisha hayo.

Siku zikaenda wakapata kazi wakaoana wakawa na nyumba nzuri.wakaona tofaut.hawa enjoy maisha.no fire burning inside them,no passion.ingawa sasa wana kitanda kikubwa na nyumba nzuri n.k

Iliwachukua muda sana kuweza kugundua tatizo ni nini na mwishowe waliamua kuweka ustaarabu pembeni.wakaanza kuishi maisha ya no care na kuweka ustaarabu pembeni.wakajikuta wana enjoy tena mapenzi.

Inatokea unakuwa na mpenzi ambaye mnapenda sana.unapokuwa naye mnakuwa kwa kificho. Unaenda kumchukua anakaa nyuma ya gari amelala kwenye seat ili asionekane.mnaenda hotel ambayo inabidi kwnza uka check usalama then anachomoka kuingia room.ndani mnaenjoy sana.trust me.halaf anatoka tena kigaidi amevaa ushungi au kofia kubwa na miwani.

Fikiria huyu mpenzi ambaye pengine ni married.ametoroka kazini kaja ukamgegede mara moja alijawa na hamu au katoka jioni kazin mnaonana mnaenda bar flani nmnapark gari mnagegedana kwenye gari.halafu mnaagana.akirudi anachat nawe alivyo enjoy n.k

Fikiria mpenz ambaye kaaga ameenda kwenye msiba kumbe kaja ukamgegede sehemu au kwako kwa masaa kadhaa. Huwa ni mapenzi real na yenye mashamushamu sana.yana raha yake.

Mapenzi anayokwambia now baby usipigie usitume text ndo nafika home.ntakutafuta kesho.kesho yake anakupigia akiongea kwa sauti ya chini kuwa yupo chooni ametamani tu asikie sauti yako.halaf ana kata.jion anakuuliza upo wapi.anakwambia anakuja angalau umpige kimoja.huwa yanakuwa ya ajabu sana na yenye hisia kali.

By GuDume
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad