Wazee CHADEMA “CCM wanaiogopa CHADEMA asilimia mia”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraza la Wazee CHADEMA wameeleza sababu za Chama chao kujitoa kwenye uchaguzi mdogo uliopanga kufanyika November 24 mwaka huu, ‘‘Sisi kama CHADEMA tumeona tuseme kuwa tumejitoa lakini tumetolewa, Sisi tumefarijika sana CCM wangeruhusu uchaguzi ufanyike wasingeshinda kabisa, CCM wanaiogopa CHADEMA kwa asilimia 100”.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad