google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Wema Sepetu APATA Hofu ya Kuzidi Kukonda...Aambiwa Aongeze Kilo Tatu | UDAKU SPECIAL

Wema Sepetu APATA Hofu ya Kuzidi Kukonda...Aambiwa Aongeze Kilo Tatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



TANZANIA sweetheart, Wema Isaac Sepetu amesema ameshauriwa kuongeza kilo tatu kwenye mwili wake kufuatia kuzidi kukondeana. Akizungumza na Shusha Pumzi wakati akimkabidhi duka shosti wake, Aunt Ezekiel kama zawadi ya bethdei anayotarajia kuisherehekea kesho, Wema alisema;

“Niliamua kujipunguza mwili, lakini sasa imekuwa ni kinyume na malengo niliyojiwekea maana nimepungua zaidi, hivyo nimeshauriwa kuongeza kilo tatu ili nilinde afya yangu. “Hivi tunavyoongea nina mzani nyumbani ambao nimekuwa nikiutumia kuangalia uzito na kuendelea kuongeza mwili.”
GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad