Aliyepata Msamaha wa Rais Magufuli Adakwa Kwa Wizi wa Ng’ombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkazi wa Mikoroshini Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Mustafa Malimi (23) ambaye ni mmoja ya wafungwa waliopata msamaha wa Rais John Magufuli Desemba 9 mwaka huu, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuiba Ng'ombe.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi mkoani hapo, Wankyo Nyigesa , ng'ombe aliyeibwa alikutwa amechinjwa na mtuhumiwa huyo. Nyigesa alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11 mwaka huu saa 4:00 asubuhi huko Nero Magorofani wilaya ya Chalinze.

"Mtuhumiwa aliiba ng'ombe mwenye thamani ya Sh milioni 1.2 mali ya Otaigo Elisha (30) mkazi wa Pera Chalinze, alisema.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wafungwa walioachiwa ni lazima warudi tena kwenye uhalifu kwa sababu wakishaachiwa wengi hujikuta hawajui wafanye nini huku uraiani ili waweze kupata mahitaji yao ya msingi hivyo kuwaachia wafungwa maelfu kwa maelfu bila ya kuangalia wataishije huko uraiani ni hatari sana kwa jamii.

    ReplyDelete

Top Post Ad