BREAKING News: Bilionea wa Tanzania Ali Mufuruki Amefariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Dar es Salaam. Mfanyabiashara Ali Mufuruki  (60) amefariki dunia leo nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mufuruki ambaye ni mwenyekiti mwanzilishi wa Jukwaa la maofisa watendaji wakuu wa  kampuni (Ceo roundtable) amekutwa na umauti akiwa na familia yake.

Mufuruki ni kati ya matajiri wakubwa 10 wa Tanzania akiwa ni mmiliki wa Kampuni ya Infotech Investment Group Limited na maduka ya Wolworth.

Oktoba 18, 2019 Mufuruki alijiuzulu nafasi yake ya  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania ili kupata muda zaidi wa kuendelea na biashara zake.

Ali Mufuruki atangaza kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Vodacom Tanzania

Mwenyekiti wa sasa wa Ceort, Sanjay Rughan amethibitisha kutokea kwa kifo hicho kilichotokea saa tisa alfajiri katika Hospitali ya Morningside
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad