AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Diamond anatakiwa anicheck tu Tufanye Kazi, Haina haja ya Kunionganisha na Wizkid Nafanya na yeye, Wenyewe wataulizia, Mimi Kwasasa ni Kazi Tu, Yeye tu Mwenyewe tu"
Chid Benz: "Nilishawahi kuambiwa na Mtu kuwa Napendwa Lakini Sifanikiwi kwasababu sijihusishi na Mambo ya Kishetani, Mimi nipo straight Namtegemea Mungu Tu, Kama Kuna kitu wanapata wao wapate Mimi siwezi"
Chid Benz: "imi na Jux Tulishazungumza Yakaisha, Alikuwa anafanya ionekane kama namuonea, Nilizungumza nae Akakubali amekosea Yakaisha"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK