Diva Loveness Atoa Mpya "Harmonize Ndio Msanii Anayelipwa PESA Nyingi Afrika na yeye na Sarah Ndio Couple Tajiri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diva Loveness Malinzi aibuka kudai Harmonize ndie msanii wa Tanzania anayelipwa Pesa nyingi zaidi Africa mashariki huku akidai Harmo na Sarah ndio couple tajiri zaidi Africa !

"Naandika Kiswahili ili tuelewane, easy tu sio ugomvi and hell no, Im not in payola list just Objectivity hun n i follow ethics n details just respect the Conglamorate, , ni hivi nimesema Harmonize na Mkewe Sarah ndio Couple Tajiri zaidi africa, no stunts jus facts on factual ... Kwa Tanzania Mwanamuziki Harmonize inasemekana ndio The Highest Paid Artist In Tanzania and East Africa yan kumuita katika show unamlipa $60,000 ndio hela watakiwa Mlipa kwa show his net worth is very high cant even number any mana mkono unatingishika !. hizo collabo zake uaambiwa spending on spending on , bling bling je ??? they both own Almost $1B ambazo sio mkopo wa bank 😂 Hands Up to The Hard working Kweli in life never give up !. n i love the fact that anashukuru alipotoka na ana heshimu kila mtu .. nasikia kuna wanakosa usingizi huko, guys .. come on now sleep , ikno ts hard jus try to sleep 😂 DON’T overwork yourselves replying to me i can urgue with the entire village" ameandika Diva
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad