Everton Wamfukuza Marco Silva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Club ya Everton leo imetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wake mkuu Marco Silva kufuatia kipigo cha 5-2 walichokipata dhidi ya Liverpool ugenini katika uwanja wa Anfield usiku wa December 4 2019.

Uongozi wa Everton umechukua maamuzi hayo kufuatia kuona timu yao inazidi kuyumba hqfi sasa ikiwa imecheza game 15 za EPL wakiishia kushika nafasi ya 18 katika Ligi Kuu England inayoshirikisha jumla ya timu 20.

Katika michezo hiyo 15 Everton ikiwa chini ya utawala wa kocha Marco Silva wameshinda game 4, sare mechi 2 na wamepoteza mechi 9 wakiwa na point 11.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad