AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa jana kwenye mahojiano Exclusive na DJ Akademics, Montana mwenye asili ya Morocco amesema anakumbuka alikula kitu kibaya alipokuja Afrika. Katika matembezi yake ndani ya nchi 4 za Afrika hakujizuia kula chochote kwani watu wengi anafahamiana nao.
Aliporudi Marekani aliangusha tena party kubwa la siku yake ya kuzaliwa, na pindi aliporejea nyumbani tu hali ilibadilika na kuanza kuona 'mazonge' baadaye alijikuta yupo chumba cha wagonjwa mahututi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK