Huyu Ndio Mwanamke Anayeshikilia Rekodi ya Dunia Kwa Kuwa na Kiuno Chembamba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Fahamu: Pichani Cathie Jung(82) Kutoka Marekani ndie anashikilia rekodi ya dunia kwa kuwa mwanamke aliye hai mwenye kiuno chembamba zaidi. Sivyo alivyozaliwa bali alianza kuvaa corset mwaka 1959 hata kabla hajaolewa, baadaye akaja kuolewa Na daktari wa binadamu kwa jina la Bob na wamezaa watoto watatu. -

Tangu 1993 Cathie huvaa corset masaa 24 kila siku isipokuwa anapoenda tu kuoga ndio huivua. Mumewe huyo enzi hizo kabla hawajafunga ndoa ndie alitoa pendekezo Cathie awe na kiuno chembamba kwani anapenda wanawake wenye kiuno nyigu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad